Esta 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua. Zaburi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Taabu yake itarudi juu ya kichwa chake mwenyewe,+Na jeuri yake mwenyewe itashuka juu ya utosi wa kichwa chake.+ Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+ Methali 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Makosa yake mwenyewe yatamkamata mwovu,+ naye atashikwa katika kamba za dhambi yake mwenyewe.+ 2 Wathesalonike 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+
10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua.
16 Taabu yake itarudi juu ya kichwa chake mwenyewe,+Na jeuri yake mwenyewe itashuka juu ya utosi wa kichwa chake.+
6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+