1 Samweli 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+ Zaburi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Amechimbua shimo, naye akalichimba;+Lakini ataanguka katika shimo alilolifanyiza.+ Methali 26:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Anayechimba shimo ataanguka ndani yake,+ naye anayeviringisha jiwe—litarudi kwake.+
10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+