Zaburi 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+ Zaburi 40:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye pia akaniinua kutoka katika shimo lenye kunguruma,+Kutoka katika matope ya nchi.+Kisha yeye akainua miguu yangu juu ya mwamba;+Akazifanya imara hatua zangu.+ Zaburi 57:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela. Yeremia 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+
7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+
2 Yeye pia akaniinua kutoka katika shimo lenye kunguruma,+Kutoka katika matope ya nchi.+Kisha yeye akainua miguu yangu juu ya mwamba;+Akazifanya imara hatua zangu.+
6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela.
20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+