Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+

      Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+

  • Zaburi 40:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yeye pia akaniinua kutoka katika shimo lenye kunguruma,+

      Kutoka katika matope ya nchi.+

      Kisha yeye akainua miguu yangu juu ya mwamba;+

      Akazifanya imara hatua zangu.+

  • Zaburi 57:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+

      Nafsi yangu imeinama chini.+

      Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;

      Wameanguka ndani yake.+ Sela.

  • Yeremia 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki