Zaburi 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+ Zaburi 57:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela. Mhubiri 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anayechimba shimo yeye mwenyewe ataanguka ndani yake;+ naye anayebomoa ukuta wa mawe ataumwa na nyoka.+
7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+
6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela.
8 Anayechimba shimo yeye mwenyewe ataanguka ndani yake;+ naye anayebomoa ukuta wa mawe ataumwa na nyoka.+