19 kama vile tu mtu anavyomkimbia simba, kisha dubu anakutana naye; na kama vile alivyoingia ndani ya nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, naye nyoka akamuuma.+
3 Nao wakijificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta kwa uangalifu na kuwachukua kutoka huko.+ Na wakijificha kwenye sakafu ya bahari kutoka mbele za macho yangu,+ huko chini nitamwamuru nyoka, naye atawauma.