- 
	                        
            
            Amosi 5:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
19 Itakuwa kama mtu anayemkimbia simba, kisha anakutana na dubu,
Na anapoingia nyumbani mwake na kuuegemeza mkono wake ukutani, anaumwa na nyoka.
 
 -