Ayubu 34:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hakuna giza wala kivuli kizitoKwa ajili ya wale wanaozoea kufanya madhara kujificha humo.+ Zaburi 139:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni wapi ninapoweza kwenda mbali na roho yako,+Na ni wapi ninapoweza kukimbilia mbali na uso wako?+ Yeremia 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova. “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova.
24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova. “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova.