Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 139:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata giza lenyewe halingekuwa jeusi mno kwako,+

      Lakini usiku wenyewe ungeng’aa kama mchana;+

      Giza lingekuwa sawa tu na nuru.+

  • Isaya 29:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ole wao wanaojizamisha ndani sana katika kuficha shauri kutoka kwa Yehova,+ na ambao matendo yao yamefanyika mahali penye giza,+ huku wakisema: “Ni nani anayetuona, na ni nani anayejua habari zetu?”+

  • Yeremia 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova.

      “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova.

  • Amosi 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao wakijificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta kwa uangalifu na kuwachukua kutoka huko.+ Na wakijificha kwenye sakafu ya bahari kutoka mbele za macho yangu,+ huko chini nitamwamuru nyoka, naye atawauma.

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki