Ayubu 34:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hakuna giza wala kivuli kizitoKwa ajili ya wale wanaozoea kufanya madhara kujificha humo.+ Danieli 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye anafunua mambo mazito na yale yaliyofichwa,+ akijua yaliyo katika giza;+ nayo nuru+ hukaa kwake.
22 Yeye anafunua mambo mazito na yale yaliyofichwa,+ akijua yaliyo katika giza;+ nayo nuru+ hukaa kwake.