Zaburi 36:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kwako wewe iko chemchemi ya uzima;+Kwa nuru inayotoka kwako sisi tunaweza kuona nuru.+ Zaburi 112:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ameangaza katika giza kama nuru kwa walio wanyoofu.+ ח [Chehth]Yeye ni mwenye neema na mwenye rehema na mwadilifu.+ 1 Yohana 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na huu ndio ujumbe ambao tumesikia kutoka kwake nasi tunawatangazia ninyi,+ kwamba Mungu ni nuru+ na hakuna giza kamwe katika muungano na yeye.+
4 Ameangaza katika giza kama nuru kwa walio wanyoofu.+ ח [Chehth]Yeye ni mwenye neema na mwenye rehema na mwadilifu.+
5 Na huu ndio ujumbe ambao tumesikia kutoka kwake nasi tunawatangazia ninyi,+ kwamba Mungu ni nuru+ na hakuna giza kamwe katika muungano na yeye.+