Zaburi 139:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata giza lenyewe halingekuwa jeusi mno kwako,+Lakini usiku wenyewe ungeng’aa kama mchana;+Giza lingekuwa sawa tu na nuru.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
12 Hata giza lenyewe halingekuwa jeusi mno kwako,+Lakini usiku wenyewe ungeng’aa kama mchana;+Giza lingekuwa sawa tu na nuru.+
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+