Zaburi 139:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata giza halitakuwa zito mno kwako,Lakini usiku utakuwa mwangavu kama mchana;+Kwako giza ni sawa na nuru.+ Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 139:12 Mnara wa Mlinzi,10/1/1993, kur. 12-141/15/1990, kur. 22-23
12 Hata giza halitakuwa zito mno kwako,Lakini usiku utakuwa mwangavu kama mchana;+Kwako giza ni sawa na nuru.+