1 Samweli 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli, na mwishowe wapiga-mishale, wapiga-upinde, wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza vibaya.+ 1 Samweli 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Sauli na wanawe watatu na mchukua-silaha wake, watu wake wote, wakafa pamoja siku hiyo.+
3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli, na mwishowe wapiga-mishale, wapiga-upinde, wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza vibaya.+