4 Na Daudi akaendelea kumwambia: “Mambo yaliendaje? Niambie tafadhali.” Naye akasema: “Watu wamekimbia kutoka vitani na pia watu wengi wameanguka, wakafa,+ na hata Sauli+ na Yonathani+ mwana wake wamekufa pia.”
6 Ndipo yule kijana aliyekuwa akimpasha habari akasema: “Nilijikuta katika Mlima Gilboa+ bila kutazamia, na tazama, Sauli alikuwa amejiegemeza kwenye mkuki wake;+ na tazama! waendesha-magari na wapanda-farasi walikuwa wamemfikia.+