1 Samweli 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Wafilisti wakaendelea kumfuatilia kwa ukaribu sana Sauli na wanawe; na mwishowe Wafilisti wakawapiga na kuwaua Yonathani+ na Abinadabu+ na Malki-shua,+ wana wa Sauli. 1 Mambo ya Nyakati 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Sauli na wanawe watatu wakafa,+ na wote wa nyumba yake wakafa pamoja.
2 Na Wafilisti wakaendelea kumfuatilia kwa ukaribu sana Sauli na wanawe; na mwishowe Wafilisti wakawapiga na kuwaua Yonathani+ na Abinadabu+ na Malki-shua,+ wana wa Sauli.