1 Samweli 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mkifanya yaliyo mabaya bila kujali, ninyi pamoja na mfalme wenu+ mtafagiliwa mbali.”+ Hosea 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo nilikupa mfalme katika hasira yangu,+ nami nitamwondolea mbali katika ghadhabu yangu.+