1 Samweli 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mkifanya yaliyo mabaya bila kujali, ninyi pamoja na mfalme wenu+ mtafagiliwa mbali.”+ Yeremia 52:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha mfalme wa Babiloni akamfunga kwa pingu za shaba, akampeleka Babiloni+ na kumtia katika nyumba ya kifungo mpaka siku ya kufa kwake.
11 Naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha mfalme wa Babiloni akamfunga kwa pingu za shaba, akampeleka Babiloni+ na kumtia katika nyumba ya kifungo mpaka siku ya kufa kwake.