2 Samweli 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Daudi akamuuliza: “Ni nini kilichotokea? Tafadhali niambie.” Akamwambia: “Watu wamekimbia kutoka vitani na wengi wameanguka na kufa. Hata Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa.”+
4 Daudi akamuuliza: “Ni nini kilichotokea? Tafadhali niambie.” Akamwambia: “Watu wamekimbia kutoka vitani na wengi wameanguka na kufa. Hata Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa.”+