Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na ikawa kesho yake+ kwamba roho mbaya ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu ya Sauli,+ hivi kwamba akatenda kama nabii+ ndani ya nyumba, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake,+ kama katika siku za hapo zamani; na mkuki ulikuwa mkononi mwa Sauli.+

  • 1 Samweli 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na roho mbaya+ ya Yehova ikaja juu ya Sauli alipokuwa ameketi nyumbani mwake, mkuki ukiwa mkononi mwake, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake.

  • 1 Samweli 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Sauli akasikia kwamba Daudi na wale watu waliokuwa pamoja naye wameonekana. Wakati huo Sauli alikuwa ameketi katika Gibea chini ya mkwaju+ ulio katika mahali pa juu akiwa na mkuki+ wake mkononi mwake, na watumishi wake wote walikuwa wamemzunguka.

  • 1 Samweli 26:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi Daudi akachukua ule mkuki na lile gudulia la maji kutoka pale karibu na kichwa cha Sauli, kisha wakaondoka; na hakuna yeyote aliyeona+ wala yeyote aliyeangalia wala yeyote aliyeamka, kwa maana wote walikuwa wamelala, kwa sababu walikuwa wameshikwa na usingizi mzito+ kutoka kwa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki