12 Basi Daudi akachukua ule mkuki na lile gudulia la maji kutoka pale karibu na kichwa cha Sauli, kisha wakaondoka; na hakuna yeyote aliyeona+ wala yeyote aliyeangalia wala yeyote aliyeamka, kwa maana wote walikuwa wamelala, kwa sababu walikuwa wameshikwa na usingizi mzito+ kutoka kwa Yehova.