11 Na ikawa kwamba wakati watu wote waliokuwa wakimjua hapo zamani walipomwona, tazama! alikuwa akitoa unabii pamoja na manabii. Basi watu wakaambiana: “Ni nini hili lililompata mwana wa Kishi? Je, Sauli pia yumo kati ya manabii?”+
24 Naye pia akavua mavazi yake na kutenda, yeye pia, kama nabii mbele ya Samweli, akalala ameanguka chini akiwa uchi mchana huo wote na usiku huo wote.+ Hiyo ndiyo sababu walianza kusema: “Je, Sauli pia yumo kati ya manabii?”+