Isaya 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wakati huo Yehova alisema kwa mkono wa Isaya mwana wa Amozi,+ akisema: “Nenda,+ ukavue nguo ya gunia kutoka viunoni mwako;+ nawe uvue viatu vyako kutoka miguuni pako.”+ Naye akafanya hivyo, akitembea akiwa uchi na miguu wazi.+ Mika 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa sababu hiyo nitaomboleza na kupiga mayowe;+ nitatembea miguu wazi na uchi.+ Nitaomboleza kama mbwa-mwitu, na kuomboleza kama mbuni-jike.
2 wakati huo Yehova alisema kwa mkono wa Isaya mwana wa Amozi,+ akisema: “Nenda,+ ukavue nguo ya gunia kutoka viunoni mwako;+ nawe uvue viatu vyako kutoka miguuni pako.”+ Naye akafanya hivyo, akitembea akiwa uchi na miguu wazi.+
8 Kwa sababu hiyo nitaomboleza na kupiga mayowe;+ nitatembea miguu wazi na uchi.+ Nitaomboleza kama mbwa-mwitu, na kuomboleza kama mbuni-jike.