Yona 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wajifunike nguo za magunia, mwanadamu na mnyama wa kufugwa; na wamwite Mungu kwa nguvu na warudi,+ kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya na kutoka katika jeuri iliyokuwa mikononi mwao. Ufunuo 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitawafanya mashahidi wangu wawili+ watoe unabii+ kwa siku 1,260 wakiwa wamevikwa nguo za magunia.”+
8 Nao wajifunike nguo za magunia, mwanadamu na mnyama wa kufugwa; na wamwite Mungu kwa nguvu na warudi,+ kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya na kutoka katika jeuri iliyokuwa mikononi mwao.
3 Nami nitawafanya mashahidi wangu wawili+ watoe unabii+ kwa siku 1,260 wakiwa wamevikwa nguo za magunia.”+