Isaya 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+ Ezekieli 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “ ‘Sasa kwa habari ya mwovu, ikiwa atageuka na kuziacha dhambi zake zote ambazo ametenda+ naye hakika ashike sheria zangu zote na kutenda haki na uadilifu,+ hakika yeye ataendelea kuishi. Hatakufa.+ Yoeli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na sasa pia,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+ kwa kufunga,+ kwa kulia, na kwa kuomboleza.+ Mathayo 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo basi zaeni matunda yanayofaa toba;+ Matendo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zipate kufutwa,+ ili majira ya kuburudisha+ yapate kuja kutoka kwa uso wa Yehova
16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+
21 “ ‘Sasa kwa habari ya mwovu, ikiwa atageuka na kuziacha dhambi zake zote ambazo ametenda+ naye hakika ashike sheria zangu zote na kutenda haki na uadilifu,+ hakika yeye ataendelea kuishi. Hatakufa.+
12 “Na sasa pia,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+ kwa kufunga,+ kwa kulia, na kwa kuomboleza.+
19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zipate kufutwa,+ ili majira ya kuburudisha+ yapate kuja kutoka kwa uso wa Yehova