Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+

  • Ezekieli 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “ ‘Sasa kwa habari ya mwovu, ikiwa atageuka na kuziacha dhambi zake zote ambazo ametenda+ naye hakika ashike sheria zangu zote na kutenda haki na uadilifu,+ hakika yeye ataendelea kuishi. Hatakufa.+

  • Yoeli 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na sasa pia,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+ kwa kufunga,+ kwa kulia, na kwa kuomboleza.+

  • Mathayo 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo basi zaeni matunda yanayofaa toba;+

  • Matendo 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zipate kufutwa,+ ili majira ya kuburudisha+ yapate kuja kutoka kwa uso wa Yehova

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki