Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake.

  • Isaya 55:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+

  • Ezekieli 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, waambie wana wa watu wako, ‘Uadilifu wenyewe wa mwadilifu hautamkomboa katika siku ya maasi yake.+ Lakini kwa habari ya uovu wa mwovu, hautamtikisa katika siku atakapogeuka na kuuacha uovu wake.+ Wala hata mtu yeyote mwenye uadilifu hataweza kuendelea kuishi kwa sababu ya huo siku ile atakapotenda dhambi.+

  • Matendo 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zipate kufutwa,+ ili majira ya kuburudisha+ yapate kuja kutoka kwa uso wa Yehova

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki