Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu+ wake naye kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki nami nilazimike kuweka kikwazo mbele yake,+ yeye mwenyewe atakufa kwa sababu hukumwonya. Kwa sababu ya dhambi yake atakufa,+ na matendo yake ya uadilifu aliyoyatenda hayatakumbukwa,+ lakini damu yake nitaidai kutoka katika mkono wako mwenyewe.+

  • Ezekieli 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “ ‘Sasa, mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake naye kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki;+ kulingana na machukizo yote ambayo mwovu ametenda yeye anaendelea kutenda+ naye anaishi, hakuna lolote la matendo yake ya uadilifu ambayo ametenda litakalokumbukwa.+ Atakufa kwa sababu ya ukosefu wake wa uaminifu ambao ametenda na kwa sababu ya dhambi ambayo ametenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki