Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye.

  • Ezekieli 33:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “ ‘Basi kwa habari ya mlinzi, kama akiuona upanga ukija naye kwa kweli asipige baragumu+ na watu wasipate onyo lolote nao upanga uje na kuichukua nafsi kutoka kwao, hiyo itachukuliwa kwa sababu ya kosa lake yenyewe,+ lakini damu yake nitaidai kutoka mkononi mwa mlinzi.’+

  • Waebrania 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki