Isaya 56:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Walinzi wake ni vipofu.+ Hakuna hata mmoja wao ambaye ameona.+ Wote ni mbwa walio bubu; hawawezi kubweka,+ wanahema, wanalala chini, wanapenda kusinzia.+
10 Walinzi wake ni vipofu.+ Hakuna hata mmoja wao ambaye ameona.+ Wote ni mbwa walio bubu; hawawezi kubweka,+ wanahema, wanalala chini, wanapenda kusinzia.+