Isaya 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fanya moyo wa watu hawa kuwa mgumu,+ na uyafanye masikio yao kuwa magumu,+ na ushikanishe macho yao pamoja, ili wasione kwa macho yao na kwa masikio yao wasisikie, na ili moyo wao usielewe na ili kwa kweli wasigeuke na kujiponya.”+ Isaya 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Yehova amemwaga juu yenu roho ya usingizi mzito;+ naye anafunga macho yenu, manabii,+ naye amefunika vichwa vyenu,+ waonaji.+ Mathayo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+
10 Fanya moyo wa watu hawa kuwa mgumu,+ na uyafanye masikio yao kuwa magumu,+ na ushikanishe macho yao pamoja, ili wasione kwa macho yao na kwa masikio yao wasisikie, na ili moyo wao usielewe na ili kwa kweli wasigeuke na kujiponya.”+
10 Kwa maana Yehova amemwaga juu yenu roho ya usingizi mzito;+ naye anafunga macho yenu, manabii,+ naye amefunika vichwa vyenu,+ waonaji.+
14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+