Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nitasema na nani na kumpa nani onyo, ili wasikie? Tazama! Sikio lao halijatahiriwa, hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa shutuma+ kwao, na katika neno hilo wao hawawezi kupendezwa.+

  • Zekaria 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ nao wakaendelea kugeuza bega kwa ukaidi,+ wakafanya masikio yao kuwa magumu mno yasiweze kusikia.+

  • Yohana 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana yule ambaye huzoea kufanya mambo maovu+ huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasipate kukaripiwa.+

  • Matendo 28:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana moyo wa watu hawa umekuwa mgumu, na kwa masikio yao wamesikia bila kuitikia, nao wamefunga macho yao; ili wasione kamwe kwa macho yao na kusikia kwa masikio yao na kuelewa kwa moyo wao na kugeuka, nami niwaponye.” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki