6 Pia, kwa nini mfanye mioyo yenu kuwa migumu kama vile Misri na Farao walivyofanya mioyo yao kuwa migumu?+ Je, haikuwa ni mara tu Yeye alipowatendea vikali+ ndipo walipowaachilia waende zao, nao wakaenda zao?+
7 Lakini nyumba ya Israeli, hawatataka kukusikiliza wewe, kwa maana hawataki kunisikiliza mimi;+ kwa sababu wote hao wa nyumba ya Israeli wana vichwa vigumu na mioyo migumu.+
16 kwa hawa wa mwisho ni harufu inayotoka katika kifo mpaka kifo,+ kwa wale wa kwanza ni harufu inayotoka katika uzima mpaka uzima. Na ni nani ambaye ana sifa za kustahili vya kutosha kwa ajili ya mambo haya?+