6Basi Yehova akamwambia Musa: “Sasa utaona nitakayomtendea Farao,+ maana kwa sababu ya mkono wenye nguvu atawaruhusu waende zao na kwa sababu ya mkono wenye nguvu atawafukuza watoke katika nchi yake.”+
11Na Yehova akamwambia Musa: “Nitaleta pigo moja zaidi juu ya Farao na Misri. Halafu atawaruhusu mwende zenu kutoka hapa.+ Wakati atakapowaruhusu mwende zenu nyote kabisa, atawafukuza kutoka hapa.+