Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Baadaye Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia: “Tazama, wewe ni kama tu umekufa, kwa sababu ya mwanamke ambaye umemchukua,+ kwa kuwa yeye ni mke wa mwingine.”+

  • Kutoka 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baada ya hapo watumishi wa Farao wakamwambia: “Mtu huyu ataendelea kuwa mtego+ kwetu mpaka wakati gani? Waruhusu watu waende zao ili wamtumikie Yehova Mungu wao. Je, bado hujajua kwamba Misri imeangamia?”+

  • Hesabu 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wana wa Israeli wakaanza kumwambia Musa hivi: “Sasa bila shaka tutakata pumzi, bila shaka tutaangamia, sisi sote tutaangamia bila shaka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki