Kutoka 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo watumishi wa Farao wakamwambia: “Mtu huyu ataendelea kututesa* mpaka lini? Waruhusu watu hawa waende zao wakamtumikie Yehova Mungu wao. Je, bado huoni kwamba Misri imeharibiwa?”
7 Ndipo watumishi wa Farao wakamwambia: “Mtu huyu ataendelea kututesa* mpaka lini? Waruhusu watu hawa waende zao wakamtumikie Yehova Mungu wao. Je, bado huoni kwamba Misri imeharibiwa?”