Kutoka 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baada ya hapo watumishi wa Farao wakamwambia: “Mtu huyu ataendelea kuwa mtego+ kwetu mpaka wakati gani? Waruhusu watu waende zao ili wamtumikie Yehova Mungu wao. Je, bado hujajua kwamba Misri imeangamia?”+
7 Baada ya hapo watumishi wa Farao wakamwambia: “Mtu huyu ataendelea kuwa mtego+ kwetu mpaka wakati gani? Waruhusu watu waende zao ili wamtumikie Yehova Mungu wao. Je, bado hujajua kwamba Misri imeangamia?”+