Mwanzo 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Yehova akamgusa Farao na nyumba yake kwa mapigo makubwa+ kwa sababu ya Sarai, mke wa Abramu.+ Zaburi 105:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hakumruhusu binadamu yeyote awapunje,+Bali aliwakaripia wafalme kwa sababu yao,+
17 Ndipo Yehova akamgusa Farao na nyumba yake kwa mapigo makubwa+ kwa sababu ya Sarai, mke wa Abramu.+