42 Kama Mungu wa baba yangu,+ Mungu wa Abrahamu na aliye Hofu ya Isaka,+ hangekuwa upande wangu, wewe ungeniacha sasa niende zangu nikiwa mikono mitupu. Taabu na kazi ya mikono yangu Mungu ameona, na kwa hiyo akakukaripia usiku uliopita.”+
10 Je, wewe hukuweka ukuta kumzunguka+ yeye na kuzunguka nyumba yake na kuzunguka kila kitu alicho nacho pande zote? Umeibariki+ kazi ya mikono yake, na mifugo yake imeenea kotekote duniani.