Mwanzo 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baadaye Isaka akaanza kupanda mbegu katika nchi hiyo,+ na mwaka huo alikuwa akipata kufikia vipimo mia moja kwa kimoja,+ kwa kuwa Yehova alikuwa anambariki.+ Kumbukumbu la Torati 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nazo baraka hizi zote zitakujia na kukufikia,+ kwa sababu umeendelea kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako: Zaburi 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana wewe mwenyewe utambariki mtu yeyote aliye mwadilifu,+ Ee Yehova;Kana kwamba kwa ngao+ kubwa, utawazunguka pande zote+ kwa kibali chako. Zaburi 84:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+ Zaburi 128:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana utakula kazi ngumu ya mikono yako mwenyewe.+Utakuwa mwenye furaha na mambo yatakwendea vema.+ Methali 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+
12 Baadaye Isaka akaanza kupanda mbegu katika nchi hiyo,+ na mwaka huo alikuwa akipata kufikia vipimo mia moja kwa kimoja,+ kwa kuwa Yehova alikuwa anambariki.+
2 Nazo baraka hizi zote zitakujia na kukufikia,+ kwa sababu umeendelea kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako:
12 Kwa maana wewe mwenyewe utambariki mtu yeyote aliye mwadilifu,+ Ee Yehova;Kana kwamba kwa ngao+ kubwa, utawazunguka pande zote+ kwa kibali chako.
11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+
2 Kwa maana utakula kazi ngumu ya mikono yako mwenyewe.+Utakuwa mwenye furaha na mambo yatakwendea vema.+