Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 26:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Baadaye Isaka akaanza kupanda mbegu katika nchi hiyo,+ na mwaka huo alikuwa akipata kufikia vipimo mia moja kwa kimoja,+ kwa kuwa Yehova alikuwa anambariki.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nazo baraka hizi zote zitakujia na kukufikia,+ kwa sababu umeendelea kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako:

  • Zaburi 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana wewe mwenyewe utambariki mtu yeyote aliye mwadilifu,+ Ee Yehova;

      Kana kwamba kwa ngao+ kubwa, utawazunguka pande zote+ kwa kibali chako.

  • Zaburi 84:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+

      Yeye hutoa kibali na utukufu.+

      Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+

  • Zaburi 128:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana utakula kazi ngumu ya mikono yako mwenyewe.+

      Utakuwa mwenye furaha na mambo yatakwendea vema.+

  • Methali 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki