Zaburi 115:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Atawabariki wale wanaomwogopa Yehova,+Wadogo kwa wakubwa.+ Methali 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baraka humkalia mwadilifu kichwani,+ lakini kinywa cha waovu, hufunika jeuri.+