Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Abrahamu alikuwa mzee, amesonga katika miaka; na Yehova alikuwa amembariki Abrahamu katika kila jambo.+

  • Ayubu 42:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Yehova akaubariki+ mwisho wa Ayubu baadaye kuliko mwanzo wake,+ hivi kwamba akawa na kondoo kumi na nne elfu na ngamia elfu sita na jozi elfu moja za ng’ombe na punda-jike elfu moja.

  • Zaburi 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wokovu ni wa Yehova.+

      Baraka yako iko juu ya watu wako.+ Sela.

  • Zaburi 67:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Hakika dunia itatoa mazao yake;+

      Mungu, Mungu wetu, atatubariki.+

  • Methali 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+

  • Waebrania 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa mfano, udongo unaokunywa mvua ambayo huja mara nyingi juu yake, na kisha unazaa mimea inayofaa kwa wale ambao huo hulimwa kwa ajili yao,+ hupokea malipo ya baraka kutoka kwa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki