Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+

  • Mwanzo 31:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baba yenu amenichezea, naye amebadili mshahara wangu mara kumi, lakini Mungu hakumruhusu anidhuru.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+

      Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+

      Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+

      Naye atasema, ‘Waangamize!’+

  • Zaburi 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Malaika wa Yehova anapiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa,+

      Na yeye huwaokoa.+

  • Zaburi 105:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hakumruhusu binadamu yeyote awapunje,+

      Bali aliwakaripia wafalme kwa sababu yao,+

  • 1 Petro 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 mnaolindwa kwa nguvu za Mungu kupitia imani+ kwa ajili ya wokovu+ ulio tayari kufunuliwa+ katika kipindi cha mwisho cha wakati.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki