Mwanzo 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+ Mwanzo 31:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baba yenu amenichezea, naye amebadili mshahara wangu mara kumi, lakini Mungu hakumruhusu anidhuru.+ Kumbukumbu la Torati 33:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+Naye atasema, ‘Waangamize!’+ Zaburi 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Malaika wa Yehova anapiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa,+Na yeye huwaokoa.+ Zaburi 105:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hakumruhusu binadamu yeyote awapunje,+Bali aliwakaripia wafalme kwa sababu yao,+ 1 Petro 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mnaolindwa kwa nguvu za Mungu kupitia imani+ kwa ajili ya wokovu+ ulio tayari kufunuliwa+ katika kipindi cha mwisho cha wakati.+
15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+
7 Baba yenu amenichezea, naye amebadili mshahara wangu mara kumi, lakini Mungu hakumruhusu anidhuru.+
27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+Naye atasema, ‘Waangamize!’+
14 Hakumruhusu binadamu yeyote awapunje,+Bali aliwakaripia wafalme kwa sababu yao,+ 1 Petro 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mnaolindwa kwa nguvu za Mungu kupitia imani+ kwa ajili ya wokovu+ ulio tayari kufunuliwa+ katika kipindi cha mwisho cha wakati.+
5 mnaolindwa kwa nguvu za Mungu kupitia imani+ kwa ajili ya wokovu+ ulio tayari kufunuliwa+ katika kipindi cha mwisho cha wakati.+