Isaya 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+ Hosea 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini mimi, nilimfundisha Efraimu kutembea,+ nikawachukua mikononi mwangu;+ wala hawakutambua kwamba nilikuwa nimewaponya.+
11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+
3 Lakini mimi, nilimfundisha Efraimu kutembea,+ nikawachukua mikononi mwangu;+ wala hawakutambua kwamba nilikuwa nimewaponya.+