Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 na katika nyika,+ mahali ambapo uliona jinsi Yehova Mungu wako alivyokuchukua+ kama vile mtu anavyomchukua mwana wake, katika njia yote mliyoitembea mpaka mlipokuja hapa.’+

  • Kumbukumbu la Torati 33:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+

      Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+

      Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+

      Naye atasema, ‘Waangamize!’+

  • Isaya 40:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+

  • Isaya 46:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nisikilize mimi, Ee nyumba ya Yakobo, nanyi nyote mnaobaki wa nyumba ya Israeli,+ ninyi niliowachukua tangu tumboni, ambao mmechukuliwa toka tumbo la uzazi.+

  • Isaya 63:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wakati wa taabu zao zote hilo lilimtaabisha.+ Na mjumbe wake binafsi akawaokoa.+ Katika upendo wake na katika huruma yake yeye mwenyewe aliwakomboa,+ naye akawainua na kuwachukua siku zote za zamani za kale.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki