31 na katika nyika,+ mahali ambapo uliona jinsi Yehova Mungu wako alivyokuchukua+ kama vile mtu anavyomchukua mwana wake, katika njia yote mliyoitembea mpaka mlipokuja hapa.’+
2 Yehova, Mtengenezaji+ wako na Mfanyizaji+ wako, ambaye aliendelea kukusaidia tangu tumboni,+ amesema hivi, ‘Usiogope,+ Ee mtumishi wangu Yakobo, na wewe, Yeshuruni,+ ambaye nimekuchagua.