Mwanzo 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Yehova akamgusa Farao na nyumba yake kwa mapigo makubwa+ kwa sababu ya Sarai, mke wa Abramu.+ Mwanzo 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Baadaye Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia: “Tazama, wewe ni kama tu umekufa, kwa sababu ya mwanamke ambaye umemchukua,+ kwa kuwa yeye ni mke wa mwingine.”+
17 Ndipo Yehova akamgusa Farao na nyumba yake kwa mapigo makubwa+ kwa sababu ya Sarai, mke wa Abramu.+
3 Baadaye Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia: “Tazama, wewe ni kama tu umekufa, kwa sababu ya mwanamke ambaye umemchukua,+ kwa kuwa yeye ni mke wa mwingine.”+