Mwanzo 31:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Acha mungu wa Abrahamu+ na mungu wa Nahori+ ahukumu kati yetu, mungu wa baba yao.” Lakini Yakobo akaapa kwa Hofu ya baba yake Isaka.+ Isaya 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova wa majeshi—yeye Ndiye mnayepaswa kuona kuwa mtakatifu,+ naye ndiye anayepaswa kuwa kitu cha kuogopwa nanyi,+ na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+
53 Acha mungu wa Abrahamu+ na mungu wa Nahori+ ahukumu kati yetu, mungu wa baba yao.” Lakini Yakobo akaapa kwa Hofu ya baba yake Isaka.+
13 Yehova wa majeshi—yeye Ndiye mnayepaswa kuona kuwa mtakatifu,+ naye ndiye anayepaswa kuwa kitu cha kuogopwa nanyi,+ na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+