7 “Nami nitatimiza agano langu kati yangu mimi na wewe+ na uzao wako baada yako kulingana na vizazi vyao kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo,+ ili kujionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.+
37 Lakini hata Musa alifunua kwamba wafu watafufuliwa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba,+ anapomwita Yehova ‘Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’+