Waamuzi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo malaika+ wa Yehova akapanda kutoka Gilgali+ akaenda Bokimu+ na kusema: “Mimi niliwatoa ninyi Misri na kuwaleta katika nchi ambayo niliwaapia mababu zenu.+ Zaidi ya hayo, nikasema, ‘Sitavunja kamwe agano langu pamoja nanyi.+ Zaburi 105:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kiapo ambacho alikiendeleza kikiwa sharti kwa Yakobo,Kama agano lenye kudumu kwa Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+
2 Ndipo malaika+ wa Yehova akapanda kutoka Gilgali+ akaenda Bokimu+ na kusema: “Mimi niliwatoa ninyi Misri na kuwaleta katika nchi ambayo niliwaapia mababu zenu.+ Zaidi ya hayo, nikasema, ‘Sitavunja kamwe agano langu pamoja nanyi.+
10 Kiapo ambacho alikiendeleza kikiwa sharti kwa Yakobo,Kama agano lenye kudumu kwa Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+