Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo malaika wa Yehova akamtokea katika mwali wa moto katikati ya mti wa miiba.+ Alipoendelea kuangalia, tazama, ule mti wa miiba ulikuwa ukiwaka moto lakini haukuwa ukiteketea.

  • Kutoka 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Tazama, ninamtuma malaika+ mbele yako ili akuongoze barabarani na kukuingiza mahali ambapo nimetayarisha.+

  • Kutoka 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana malaika wangu ataenda mbele yako naye kwa kweli atakuongoza kwa Waamori na Wahiti na Waperizi na Wakanaani, na Wahivi na Wayebusi, nami hakika nitawafutilia hao mbali.+

  • Yoshua 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha ikawa kwamba Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, akainua macho yake na kuangalia, na tazama, palikuwa na mwanamume+ aliyesimama mbele yake akiwa na upanga uliochomolewa mkononi mwake.+ Kwa hiyo Yoshua akamwendea na kumwambia: “Je, wewe uko upande wetu au upande wa adui zetu?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki