Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Bado, moyo wa Farao ukawa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama Yehova alivyokuwa amesema.

  • Kutoka 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+

  • Kutoka 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mimi nami, tazama, nitaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi,+ ili waingie kuwafuatilia wao nami nijipatie utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote, magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi.+

  • Waroma 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki