1 Samweli 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa nini mfanye mioyo yenu iwe migumu kama Wamisri na Farao walivyofanya mioyo yao kuwa migumu?+ Alipowaadhibu vikali,+ walilazimika kuwaruhusu Waisraeli waende zao, nao wakaondoka.+
6 Kwa nini mfanye mioyo yenu iwe migumu kama Wamisri na Farao walivyofanya mioyo yao kuwa migumu?+ Alipowaadhibu vikali,+ walilazimika kuwaruhusu Waisraeli waende zao, nao wakaondoka.+